Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Sababu ya pato la Taifa kuongezeka yatajwa

Ijumaa , 6th Aug , 2021

Pato la Taifa kwa kipindi cha robo ya kwanza ya mwaka 2021 limeongezeka hadi kufikia shilingi trilioni 38.0 kutoka shilingi trilioni 36.4 katika kipindi kama hicho kwa mwaka 2020.

Kaimu Mkurugenzi wa Takwimu za Uchumi kutoka Ofisi ya Taifa ya Takwimu, Daniel Masolwa

Hayo yamesemwa na Kaimu Mkurugenzi wa Takwimu za Uchumi kutoka Ofisi ya Taifa ya Takwimu, Daniel Masolwa, jijini Dodoma na kusema kwamba shughuli za uchimbaji wa madini na mawe ziliongoza kwa kuwa na kiwango cha juu cha ukuaji hali iliyopelekea pato kupanda.

"Katika kipindi cha robo ya kwanza 2021, shughuli za uchimbaji madini na  mawe ziliongoza kwa kuwa na kiwango cha juu zaidi cha ukuaji wa asilimia 10.2 ikifuatiwa na Habari na Mawasiliano asilimia 9.1, uchukuzi na uhifadhi mizigo 9.0%, maji safi na majitaka 9.0%, huduma za kitaalam, sayansi na ufundi 7.8%, huduma zinazohusiana na utawala 7.4% na umeme 7.2%," amesema Masolwa.

Aidha, Masolwa amefafanua kwamba ukuaji wa Pato la Taifa katika kipindi hicho Masolwa amesema kuwa  pato  la Taifa katika robo ya kwanza ya mwaka 2021 ni asilimia 4.9 ukichangiwa na shughuli mbalimbali za kiuchumi zilizofanyika katika kipindi hicho.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine