Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Rc Chalamila aigeukia migogoro ya ardhi Dar.

Jumapili , 2nd Jul , 2023

Mkuu wa Mkoa wa Dsm Albert Chalamila amewataka wananchi wa Mtaa wa Mbopo kata ya Mabwepande dsm ambao walivamia na kujenga Makazi yao katika Ardhi inayomilikiwa Kihalali na Shirika la Maendeleo la Mkoa wa Dsm DDC kutokubali kudanganywa na baadhi ya wanasiasa au Wanasheria wababaishaji

Mkuu wa Mkoa wa Dsm Albert Chalamila akizungumza na wananchi wa Mtaa wa Mbopo kata ya Mabwepande.

Chalamilka ametoa kauli hiyo katika Mkutano uliofanyika katika Mtaa wa Mbopo ambapo amesema baadhi ya watumishi wa Umma hasa katika kitengo cha ardhi katika manispaa ya Kinondoni kwa kushirikiana na baadhi ya wevyeviti wa Serikali za Mitaa hawakuwa waadilifu kwa kuuza na kutoa hati juu ya Ardhi yenye hati.

Katika Mkutano huo baadhi ya wananchi wamesema katika Kipindi kirefu walikuwa wakiishi kwa Mashaka kutokana na tishio la kubomolewa nyumba zao kutokana na kesi zote walizofungua mahakamani kushindwa lakini wakafarijika baada ya DDC kukaa nao na kuweka Mpango wa maridhiano na Kupimiwa ili kila Mwananchi alipe kigogo kidogo katika eneo analolimiliki.

Hata hivyo Chalamila alihitimisha Mkutano huo kwa kuwataka wananchi hao kuwa wakweli na kujiepusha na Makundi yanayowapotosha na kujipatia fedha na kuweka rehani Maisha yao badala yake wakubaliane na Mpango wa maridhiano na Shirika hilo kwa kupimiwa na kulipia ardhi kwa gharama kidogo ili Waendelee kuishi katika makazi yao.

 

 

HABARI ZAIDI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali