Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Nyama Vingunguti yashuka bei wenye mabucha wahaha

Jumanne , 6th Dec , 2022

Wafanyabiashara wa nyama kwenye mabucha yaliyopo Vingunguti jijini Dar es Salaam, wanalazimika kuuza kilo moja ya nyama kwa 6000 kutoka 8000 kutokana na kukosekana kwa wateja huku wakieleza kwamba changamoto ya ukosefu wa majokofu ya kuhifadhia nyama kunachangia kuuza kwa bei ya hasara.

Nyama

Wakizungumza leo Desemba 06, 2022, na East Africa TV wafanyabiashara hao wamesema kuna haja ya soko la nyama kuongezewa thamani kwa kuuzwa kwenye nchi nyingi tofauti na sasa kwani Tanzania imekuwa na idadi kubwa ya Ng'ombe lakini soko limekuwa dogo 

Wamesema licha ya kuboreshewa bucha za kufanya biashara hiyo tofauti na awali lakini hali ya kibiashara kwao imekuwa ngumu

Kwa upande wake daktari wa nyama kutoka Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam, anayesimamia eneo la bucha za nyama Vingunguti, Dkt David Gabriel, amesema hawaruhusu kuingizwa Kwa nyama ya Ng'ombe kuingizwa kwenye bucha hizo bila ya kuwa na muhuri maalum wa serikali unaoelekeza kama nyama husika imekaguliwa na ni salama kwa mlaji

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine