Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mtikisiko wa uwekezaji, uimara wa soko Tanzania

Jumatatu , 10th Aug , 2020

Ongezeko la uwazi katika uwekezaji, usalama na uboreshaji wa mazingira ya uwekezaji nchini umetajwa kuwa chachu ya kuongezeka kwa wawekezaji nchini.

Ongezeko la uwazi katika uwekezaji, usalama na uboreshaji wa mazingira ya uwekezaji nchini umetajwa kuwa chachu ya kuongezeka kwa wawekezaji nchini.

Hayo yamebainishwa na Afisa Mtendaji Mkuu Soko la Hisa la Dar es Salaam DSE Moremi Marwa ambapo amesema licha ya nchi mbalimbali kutetereka katika uwekezaji haswa wa hisa kutokana na Covid-19 bado Tanzania wawekezaji wa ndani na nje wameendelea kuamini mazingira ya uwekezaji.

"Sio mataifa makubwa tu yakiwemo Marekani,Japan na mengine ambayo yameathirika na suala la Covid 19 Kenya imetajwa kushuka zaidi na hali hii hutokea wakati wote kukiwa na majanga ila baada ya msimu ila wengi kufanya maamuzi kwa kitu ambacho hakina athari sana"

Moremi ameshauri wawekezaji kutumia msimu huu ambao masoko mengi ya dhamana na mitaji yameonekana kushuka haswa kwenye hisa kwani bado ni uwekezaji ambao unafaida wakati soko litakapoimarika.

"Wawekezaji wengi wamewekeza katika hatifungani za serikali ambayo mara nyingi yametajwa kuwa na uhakika wa kupata fedha zao inafanyika katika mataifa mbalimbali maana hiyo ni mbinu ya kibiashara"

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine