Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Makundi ya Facebook yawatajirisha wakenya

Jumanne , 25th Sep , 2018

Mtandao wa Facebook umetangaza listi ya makundi zaidi ya 115 dunia nzima yaliyoshinda katika programu yake maalumu inayojulikana kama ' Programu ya uongozi wa jamii, ndani yake ikiwa na raia sita kutoka nchini Kenya.

Makundi hayo sita yaliyo na raia wa Kenya yameifanya nchi hiyo kuwa ndiyo nchi pekee barani Afrika iliyoingiza makundi mengi zaidi katika listi hiyo.

Kila mmoja wa waliochaguliwa katika listi hiyo atazawadiwa kiasi cha dola 50,000 ambazo ni sawa na kiasi cha 114.3 millioni za kitanzania.

Katika kampeni ya kuwapata washindi hao kulikuwa na makundi ya aina mbili yaliyoshindanishwa, kundi la kwanza likiwa ni kundi la kiongozi bora wa kundi la kijamii katika eneo analoishi na kiongozi bora wa kundi la wafuasi kutoka sehemu mbalimbali.

Facebook pia imechagua watu watano kutoka kwenye makundi hayo 115 yaliyoshiriki ambao watajishindia kiasi cha dola 1,000,000 ambazo ni takribani 2.86 billioni za kitanzania kwaajili ya kuendeleza jamii zao.

Mmoja ya washindi wa programu hiyo raia wa Kenya ambaye ni mjasiliamali, Noar Nasiali aliyetengeneza kundi la wakulima zaidi ya 100,000 la bara la Afrika aliloliita "Klabu ya wakulima", ni raia pekee wa Afrika aliyeingia katika listi hiyo ya watu watano.

 Wakenya wengine waliokuwa katika listi ya makundi hayo 115 yaliyotangazwa ni Pamella Odour, Felister Wangari, Caroline Kihusa na Truphosa Mona ambaye ni mlemavu aliyeunda kundi la 'Women and Realities of Disabilitie (WARD)' katika mtandao huo akilenga kuongeza uelewa kwa wakenya kuhusu wanawake wanaoishi na ulemavu. 

HABARI ZAIDI

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria