Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Jamii yaaswa kuwekeza kwenye Dijitali

Jumatano , 27th Apr , 2022

Jamii imeaswa kufanya uwekezaji katika matumizi ya kidijitali hususani katika kizazi hiki ambacho kipo katika mabadiliko ya kasi ya teknolojia.

Rai hiyo imetolewa na Mkurugenzi wa SAG group Edwin Bruno Mara baada ya kutembelea na kutoa msaada kwa kituo cha watoto yatima cha Mtambani kilichopo Kinondoni Dar es Salaam na baadae kushiriki katika Ifatar ya pamoja ikiwa ni sehemu ya ibada Kwa kipindi hiki cha mwezi mtukufu wa Ramadhan.

"Sisi tunashirikiana na wadau wetu mbali kama Vodacom Tanzania katika upande wa mawasiliano kidijitali ili kuhakikisha kizazi Cha sasa kinapata Huduma hiyo na leo tumeamua kushiriki na watoto yatima wa mtambani kama ibada."alisema Edwin Bruno.

Awali Mkuu wa Kitengo cha masoko na Mauzo kutoka Vodacom Tanzania Warda Kimaro amesema Kwa muda sasa wamekuwa wakishirikiana na wadau wao SAG katika upande kuboresha mawasiliano ya kisasa Kwa jamii.

"Sisi kama Vodacom tunashukuru Kwa suala hili ambalo wenzetu wamelifanya Kwa watoto hawa ikiwa ni sehemu ya kurejesha furaha na kutambua uwezo na mchango watoto katika Dunia ya Sasa."alisema Warda.

Akimwakilisha na kutoa Salam za mufti mkuu wa Tanzania Sheikh Mkuu Wilaya ya ilala Adam Mwinyi Mkuu amesema kuwalisha yatima,kuwavisha ni thawabu huku akiwaka waislam kujiandaa na Sherehe za eid ambazo kitaifa zitafanyika Mkoani Dar es Salaam katika msikiti wa Bakwata Kinondoni.

"Mufti wetu anawaomba waislamu kote nchini kumaliza funga yao kwa amani utulivu akitoa shukrani kwa wote waliokumbuka kuwalisha wasiojiweza katika kipindi chote cha mwezi mtukufu. "alisema Sheikh Adam.pamoja shukrani kutoka Kwa mlezi wa kituo cha watoto yatima cha mtambani Immam Rajab Rajab.

HABARI ZAIDI

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria