Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Bei ya maua ya asili yapaa juu

Jumatano , 23rd Sep , 2020

Kutokana na kuadimika kwa biashara ya maua nchini, wadau na wafanyabiashara wa maua jijini Dar es salaam, wameiomba serikali kuhakikisha inasimamia kuanza upya kwa mashamba makubwa ya maua yaliyopo jijini Arusha ambayo kwa sasa hayafanyi uzalishaji.

Maua

"Kiukweli niiombe serikali yangu wayatizame upya yale mashamba ya maua ambayo hayafanyi uzalishaji  hasa kule Arusha na Njombe wawape wawekezaji wenye uwezo wa kuyafufua ili hili soko ambalo leo tunayumba halitakuwepo tena", amesema Angel Rwiza, mfanyabiashara wa maua Namanga Mbuyuni.

Biashara hii ya maua ya asili inadaiwa kushuka zaidi mara baada ya Covid -19 kuathiri zaidi mataifa ya jirani ambayo pia yalikuwa yakiingiza maua hapa nchini mara baada ya kushuka kwa uzalishaji hasa katika mashamba ya ndani.

Aidha biashara hiyo pia imewanufaisha baadhi ya wajasiriamali kwa zaidi ya miaka kadhaa huku wakitoa wito kwa kwa kina mama wengine kujiajiri katika biashara hiyo.

"Nina takribani miaka mitatu kwenye biashara hii ya maua sasa inapotokea Hali Kama hii kwa kweli Hali inatuwia vigumu Sana kwa Sasa kuendesha maisha", Asma Abdallah, mfanyabiashara wa Maua.

Wafanyabiashara wa maua kwa sasa wanatarajia kuwepo kwa mabadiliko mara baada ya kufunguliwa kwa mipaka hasa  kutoka nchi jirani ya Kenya

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine