Submitted by Halima on Ijumaa , 28th Mar , 2014Unakubali kwamba maduka na mabanda ya biashara yanayokua karibu au nje ya shule, huchangia kuharibu tabia za wanafunzi? Usikose mada hii ndani ya SKONGA itakayochangiwa na wanafunzi wa Mugabe sekondari.