Jina Kamili anaitwa Hassani Mussa Mohamed.

Amezaliwa Pundula mkoani Ruvuma, Tarehe 08/06.

Ni Dancer mkongwe anayecheza ndani ya bendi ya Extra Bongo, Mwanamuziki na pia ni Raisi wa Chama cha Dancers Tanzania.

**Katika majaji wote, judge huyu ndio mkali na asiyetoa maksi kubwa kirahisi.