Mradi wa uwekezaji katika sekta ndogo ya gesi ni moja ya maeneo ambako wawekezaji wamekuwa wakitumia uelewa duni kukwepa ulipaji kodi.
Dkt. Selemani Jafo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira).
Askofu wa Kiongozi wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima.