Waziri wa Mambo ya Nje ya China Wang Yi
Waziri Wang Yi, amekabidhi hundi ya kiasi hicho kwa Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia Prof. Joyce Ndalichako , mara baada ya kuzindua chuo cha ufundi stadi wilayani humo.
Waziri wa Mambo ya Nje ya China, Wang Yi (wa pili kutoka kushoto), Waziri wa Elimu Profesa Ndalichako (wa tatu kutoka kushoto) na Waziri wa Mambo ya Nje Prof. Paramagamba Kabudi (kulia).
Kwa Upande wake Profesa Ndalichako, amesema watatumia kiasi hicho kwa ajili ya kuendeleza fani ya uvuvi chuoni hapo.
“Katika chuo hiki tuna fani ya uvuvi kwahiyo msaada huu tutautumia kununua vifaa kwa ajili ya kuendeleza fani ya ufundi, wananchi wa chato wengi ni wavuvi”, amesema Ndalichako.
Zaidi tazama Video hapo chni