Dismas Ten ambaye pia amewahi kuwa Afisa Habari wa Mbeya City amesema hayo kupitia ukurasa wake wa Instagram ambapo pia ameweka wazi kuwa kwa upande wa wasemaji hakuna kama Haji Mana wa Simba SC.
''Msemaji bora hakuna kama Haji Manara wa Simba SC haswa linapokuja suala la kuzungumza na kuhamasisha''.
Soma Post yake