MSANII BRANDY MUONEKANO WAKE WA SASA WALETA TAFRANI MTANDAONI/BADBUNNY KASHINDA KESI ZIDI YA EX WAKE
MOST POPULAR
Wauguzi wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili wakimpokea Dada Neema Mwita Wambura (32) na kuanza mara moja kumfanyia tena uchunguzi wa afya yake katika majeraha aliyoyapata mara baada ya kumwagiwa uji wa moto uliokuwa ukichemka jikoni kitendo kilichofanywa na mume wake.