Picha ya msanii Ruger akiwasili nchini Tanzania kwa mara ya kwanza
"Tanzania nipo hapa na sijasahau mabegi yangu tuonane Oktoba" - Ameandika Ruger kwenye Akaunti yake ya Twitter.
Wasanii Ruger, Nyashinski kutoka Kenya na Jay Melody wote watapiga bonge moja la show Jumamosi hii pale Ware House Masaki.