Msanii wa Mabeste
Akiongea na eNewz ya East Africa TV Mabeste amesema wimbo wake unayofuata ni kwa ajili ya Mungu kutokana na kujiona anabadilika kuwa mpya kila siku.
“Nyimbo ninayotoa ni Gospel kutokana na Mungu aliponitoa na apa nilipo niko mpya zaidi ya jana kwenye kila kitu nazidi kujipenda zaidi na kujielewa zaidi na nazidi kumshukuru Mungu, hii ni Mabeste katika Sanaa yake nimeshawaburudisha sana katika aina ya muziki wa bongo fleva sasa nawaburudisha katika injili hii ni kwaajili ya kujipenda” - amesema Mabeste
Zaidi tazama hapa chini kwenye video.