"watu wamekuwa wakinisumbua sana katika mitandao ya kijamii na kwenye simu wakiniulizia namba za wale mabinti ambao wamecheza katika wimbo wa wowowo wakiwataka kimapenzi , ila mimi huwa nawaambia kuwa watu hao sina namba zao kwa sababu Riyama Ally yule msanii wa bongo movie ndio aliniunganisha nao" , alisema Zaiid
Zaiid ni moja kati ya wasanii ambao wanafanya vizuri kwa sasa kutokana na staili yake ya uimbaji