Rugemalila akiwa na ndugu na wanafamilia baada ya kuachiwa huru
Rugemalira na wenzake walifikishwa Mahakamani na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Tanzania (TAKUKURU) wakishtakiwa kwa makosa 6 ya Uhujumu Uchumi, ikiwemo kuisababishia Serikali hasara ya takribani Tsh. Bilioni 358.
Taarifa zaidi tunakuletea