Business

Muandaaji wa kipindi cha SupaBreakfast cha East Africa Radio, Mackriner Siyovelwa akimkabidhi zawadi kutoka Royal Oven Bakery mfanyakazi wa S. H. AMON Faraja Ezekiel.

Muandaaji wa kipindi cha SupaBreakfast cha East Africa Radio, Mackriner Siyovelwa (wa kwanza kushoto), akikabidhi zawadi kwa wafanyakazi wa ARiS Insurance.

Moja kati ya wamiliki wa Jaden Home Store Jacqueline Maadili (kushoto) akimkabidhi TV ya kisasa mama lishe Yolanda Paul anayeuza chakula na vinywaji Ubungo Msewe ambayo itakakwenda kuongeza thamani katika biashara yake.

Picha ya moja ya kikundi cha wajasiriamali

Mkurugenzi wa Elimu kwa mlipakodi TRA Richard Kayombo

Mkurugenzi wa Shirikisho la Viwanda Tanzania (CTI) Leodgar Tenga.

Rais wa Shirikisho la vyama vya wachimbaji wa madini Tanzania (FEMATA), John Bina.

Sehemu ya Soko la Mtambani