Nimezaliwa mwaka 1993 wilaya ya TEMEKE Mkoa wa DAR ES SALAAm
Mimi ni mtoto wa 4 katika familia ya watoto 5 nina kaka 1 na dada 3
Ninaishi KAKA
Mtaani kwangu najulikana kwa RASS KIROBA
Mimi nimesoma mpaka DARASA 7
Shughuli zangu za kila siku (zaidi ya kudansi ) KAZI ZA NYUMBANI
Mafanikio katika Fani:
Najiendesha katika mahitaji madogo madogo katika fani yangu.
Year: