Nimezaliwa mwaka 1990 wilaya ya TEMEKE Mkoa DAR ES SALAAM
Mimi ni mtoto wa 3 katika familia ya watoto 6 nina kaka 2 na dada 2
Ninaishi MWENYEWE na RAFIKI
Mtaani kwangu najulikana kwa HEMEDI KHALIFA
Mimi nimesoma mapka FORM FOUR
Shughuli zangu za kila siku (zaidi ya KUdansi) BIASHARA
Mafanikio katika Fani:
mafanikio yangu katika fani ni kujiendeleza kimaisha na kujitegemea mwenyewe kupitia fani yangu
Year: