Nimezaliwa mwaka 1994 wilaya ya TEMEKE Mkoa wa DAR ES SALAAM
Mimi ni mtoto wa 2 katika familia ya watoto 2
Ninaishi na MAMA na KAKA
Mtaani kwangu najulikana kwa CHAZI MAJOJO
Mimi nimesoma mpaka DARASA LA 7
Shughuli zangu za kila siku ( zaidi ya Kudansi) ACROBATIC
Mafanikio katika Fani:
Kwanza nimesafirinchi mbalimbali na pia nimekutana na madancer wakubwa duniani, pia naishi kwangu kwa fani hii nina nina mkataba kila DECEMBER naenda UEROPEAN TOUR kwa ajili ya kutangaza Tanzania na Africa pia.
Year: