Nimezaliwa mwaka 1992 wilaya ya TEMEKE Mkoa DSM
Mimi ni mtoto wa 5 katika familia ya watoto 6 nina kaka 4
Ninaishi MWENYEWE
Mtaani kwangu najulikana kwa MSANII WA UCHEZAJI
Mimi nimesoma mpaka FORM 4
Shughuli zangu za kila siku (zaidi ya kucheza dansi) MPIRA
Mafanikio katika Fani:
Mafanikio yangu katika sanaa cha kwanza naishi mwenyewe, pia nina vitega uchumi kupitia snaa pia nimekua CHOREOGRAPHER wakujitegemea
Year: