QUICK PROFILES

EMANUEL ELIAS FAHAMU
+

Nimezaliwa mwaka 1991 wilaya ya KINONDONI Mkoa wa DAR ES SALAAM

Mimi ni mtoto wa 1 katika familia ya watoto 4 

Ninaishi KIJITONYAMA na WAZAZI

Mtaani kwangu najulikana kwa 4REAL

Mimi nimesoma mpaka KIDATO CHA 4

Shughuli zangu za kila siku (zaidi ya kucheza dansi) MFANYA BIASHARA NDOGO NDOGO