Nimezaliwa mwaka 1991 wilaya ya KINONDONI Mkoa wa DAR ES SALAAM
Mimi ni mtoto wa 1 katika familia ya watoto 4
Ninaishi KIJITONYAMA na WAZAZI
Mtaani kwangu najulikana kwa 4REAL
Mimi nimesoma mpaka KIDATO CHA 4
Shughuli zangu za kila siku (zaidi ya kucheza dansi) MFANYA BIASHARA NDOGO NDOGO