Nimezaliwa mwaka 2000 wilaya ya ILALA Mkoa wa DAR ES SALAAM
Mimi ni mtoto kataika familia ya watoto 5 nina kaka 3
Ninaishi ILALA BOMA na WAZAZI
Mtaani kwangu najulikana kwa ROMMY SHOKI
Mimi nasoma FORM ONE
Shughuli zangu za kila siku (zaidi ya kucheza dansi) BADO NASOMA