Nimezaliwa 1994 wilaya ya TEMEKE Mkoa wa DAR ES SALAAM
Mimi nim mtoto wa 4 katika familia ya watoto 6 nina kaka 2 na dada 3
Ninaishi TEMEKE na WAZAZI WANGU
Mtaani kwangu najulikana kwa KISIKI
Mimi nimesoma mpaka FORM FOUR
Shughuli zangu za kila siku (zaidi ya kudansi) ni: KURUKA SARAKASI
Mafanikio katika Fani:
Mafanikio yangu katika dance ni kidogo nimetembelea au nimetoka, nimeenda kujifunza dance nje ya nchi.
Year: