Nimezaliwa mwaka 1997 wilaya ya TEMEKE Mkoa wa DAR ES SALAAM
Mimi ni mtoto wa 4 katika familia ya watoto 5 nina kaka 4
Mtaani kwangu najulikana kwa DANCER
Mimi nimesoma mpaka FORM TWO
Shughuli zangu za kila siku (zaidi ya kucheza dansi) ni SINA KAZI YOYOTE
Mafanikio katika Fani:
Dancer naidai haijanipa mafanikio Nlioridhika nayo zaidi ya pesa ya kunua nguo basi
Year: