Nimezaliwa mwaka 1994 wilaya ya ILALA Mkoa wa DAR ES SALAAM
Mimi ni mtoto wa 6 katika familia ya watoto 6 Nina kaka 2 na dad 3
Ninaishi KIWALANI na WAZAZI WANGU
Mtaani kwangu najulikana kwa B-BOY ZUNGU
Mimi nimezoma mpaka FORM FOUR
Shughuli zangu za kila siku (zaidi ya kucheza dansi) ni: KINYOZI
Mafanikio katika Fani:
Nimeweza kutoka na kutembelea Nchi nyengine na kujifunza Dance.
Year: