Nimezaliwa mwaka 1994 wilaya ya TEMEKE Mkoa wa DAR ES SALAAM
Mimi ni mtoto wa 2 katika familia ya watoto 3
Ninaishi VUNGUNGUTI na WAZAZI WOTE WAWILI
Mtaani kwangu najulikana kwa VIPAJI VYANGU
Mimi nimesoma mpaka FORM FOUR
Shughuli zangu za kila siku (zaidi ya kudansi) ni: KURAP
Mafanikio katika Fani:
Madogo kwasababu siliziki nayo
Year: