Aliekua Mwenyekiti wa Kamati Ndogo ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji Amina Makilagi akipanda ngazi za tanki la maji la mradi wa Maji wa Nanyamba.
Kocha mkuu wa Stars Mkwasa akizungumza na waandishi wa habari
Henderson akibusu kombe la EPL
Makamu wa Rais Dk Philip Mpango (wa pili kulia) akikabidhi tuzo maalum kwa Meneja Mkuu wa Kampuni ya kuzalisha na kusambaza nishati ya gesi ya nyumbani ya Taifa Gas Limited, Devis Deogratius (kushoto).