Mmmoja wa Wanawake akiwa katika mdahalo wa kuelemisha juu ya Uongozi katika Kijiji
Katibu wa kongamano la Baraza la Wanawake wa kiislamu Wilaya ya Kongwa Mariam Issa Msami.
Mzigo wa miwa ukiwa tayari umeshushwa kutoka kwenye gari la mizigo katika soko la Tandale.