Kamishna Msaidizi wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Iringa Ramadhani A. Mungi akizungumza na waandishi wa habari kwenye makao Makuu ya Jeshi la Polisi Iringa.
Magoli ya Simba SC yamefungwa na Leonel Ateba Mbida aliyefunga dakika ya 35 na 45 kipindi cha kwanza magoli hayo Ateba amefikisha magoli 5 katika ligi kuu Tanzania bara akionekana kuendelea kuimarika kadri siku zinavyozidi kwenda akiwa na kikosi cha Wekundu wa Msimbazi.