Lionel Messi akishangilia bao lake alilowafunga Venezuela hii leo.
Katibu wa kongamano la Baraza la Wanawake wa kiislamu Wilaya ya Kongwa Mariam Issa Msami.
Mzigo wa miwa ukiwa tayari umeshushwa kutoka kwenye gari la mizigo katika soko la Tandale.
Mkuu wa wilaya ya Chunya Deodatusi Kinawiro