Naibu Afisa Mtendaji Mkuu wa Deloitte Kanda ya Afrika Mashariki Bw. Joe Eshun.
Katibu wa kongamano la Baraza la Wanawake wa kiislamu Wilaya ya Kongwa Mariam Issa Msami.
Mzigo wa miwa ukiwa tayari umeshushwa kutoka kwenye gari la mizigo katika soko la Tandale.