Rais wa TFF Jamal Malinzi na mkurugenzi wa Plan International Tanzania, Jorgen Haldorsen wakisaini makubaliano ya kampeni ya afya kwa mtoto wa kike
Wachezaji wa Azam FC wakishangilia goli
Waziri wa Ujenzi Mhe. Innocent Bashungwa akizungumza jambo na Mkandarasi wa mradi a ujenzi wa vivuko Songoro Marine ambapo atoa maagizo mardi ukamilike kwa wakati.