Wanamichezo Olimpiki iliopita wa Tanzania katika picha nchini Uingereza.
Kocha Mkuu wa zamani wa timu ya taifa ya Nigeria, Marehemu Shaibu Amodu.
Katibu wa kongamano la Baraza la Wanawake wa kiislamu Wilaya ya Kongwa Mariam Issa Msami.
Mzigo wa miwa ukiwa tayari umeshushwa kutoka kwenye gari la mizigo katika soko la Tandale.