Melisa John anayeiwakilisha Tanzania kwenye Shindano la Airtel Trace Music Stars (wa kwanza kulia) akiwa na Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Sanaa Bi. Leah Kihimbi na Meneja Uhusiano wa Airtel Tanzania, Jackson Mmbando.
Magoli ya Simba SC yamefungwa na Leonel Ateba Mbida aliyefunga dakika ya 35 na 45 kipindi cha kwanza magoli hayo Ateba amefikisha magoli 5 katika ligi kuu Tanzania bara akionekana kuendelea kuimarika kadri siku zinavyozidi kwenda akiwa na kikosi cha Wekundu wa Msimbazi.