Eneo la Wami Dakawa alipopata ajali Hayati Edward Moringe Sokoine ambapo inatakiwa kujengwa shule ya Sokoine Memorial
Katibu wa kongamano la Baraza la Wanawake wa kiislamu Wilaya ya Kongwa Mariam Issa Msami.
Mzigo wa miwa ukiwa tayari umeshushwa kutoka kwenye gari la mizigo katika soko la Tandale.