Kocha wa Serengeti Boys Bakary Shime akitoa maelekezo wakati wa mazoezi kwa vijana wake Uwanja wa Karume jijini Dar es salaam
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiwa ziarani wilayani Ngorongoro alipokwenda kufanya mkutano na watu wa jamii za wamasai na wasonjo Septemba, 2013