Baadi ya rais wanaoishi nchini Marekani wakiwa katika Chakula cha Pamoja cha Usiku.
Katibu wa kongamano la Baraza la Wanawake wa kiislamu Wilaya ya Kongwa Mariam Issa Msami.
Mzigo wa miwa ukiwa tayari umeshushwa kutoka kwenye gari la mizigo katika soko la Tandale.