Katibu wa Muungano wa Vyama vya Madereva, Rashid Salehe, akizungumza na madereva akiwa ameambatana na Makamu Mwenyekiti wa Umoja huo Bw. Shaban Mdemu.
Katibu wa kongamano la Baraza la Wanawake wa kiislamu Wilaya ya Kongwa Mariam Issa Msami.
Mzigo wa miwa ukiwa tayari umeshushwa kutoka kwenye gari la mizigo katika soko la Tandale.