Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akikagua gwaride rasmi liliandaliwa na vikosi mbalimbali wakati wa sherehe ya kuagwa rasmi na vyombo vya Usalama.
Murtaza Mangungu - Mwenyekiti wa Klabu ya Simba
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Kawambwa.
Mmoja wa Viongozi wa MVIWATA Akizungumza katika moja ya Makongamo ya Wanachama wa vikundi vya Wakulima wadogowadogo.