Mwenyekiti wa TPSF ambae pia ni mwenyekiti Mtendaji wa Kampuni za IPP Dkt. Reginald Mengi.
Mzigo wa miwa ukiwa tayari umeshushwa kutoka kwenye gari la mizigo katika soko la Tandale.
Katibu wa kongamano la Baraza la Wanawake wa kiislamu Wilaya ya Kongwa Mariam Issa Msami.