Meya wa Manispaa ya Kinondoni Yusuph Mwenda (kulia) akipokea tuzo ya meya aliyapata mafanikio kwa mujibu wa Jumuiya ya Serikali za Mitaa - ALAT, kutoka kwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu - TAMISEMI Bi. Hawa Ghasia.
Ditram Nchimbi
Golikipa wa Singida FG amefungiwa michezo 3 na faini ya shilingi milioni 1 kwa kosa la kuwafanyia vurugu Coastal Union