Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa HakiElimu, Godfrey Boniventura (kulia) akiwa na Msemaji wa shirika hilo Elisante Kituro.
Wakili Alberto Msando
Mkurugenzi Mtendaji wa GGML, Terry Strong akiwa pamoja na mmoja wa wafanyakazi wa kampuni hiyo Vallence Ibrahim wakiongoza matembezi hayo ambayo yalishirikisha baadhi ya wafanyakazi na wakandarasa wa GGML.
Moja ya Mitaa inayopatikana Mbalizi Jijini Mbeya.