Charles Meshack Mkurugenzi wa Shirika la kuhifadhi misitu ya asili Tanzania(TFCG).
Forum cc yaendelea yaendesha semina ya siku mbili katika ukumbi wa chuo cha maendeleo ya wananchi FDC Njombe.
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiwa ziarani wilayani Ngorongoro alipokwenda kufanya mkutano na watu wa jamii za wamasai na wasonjo Septemba, 2013
Jinsi moto ulivyokuwa unaunguza soko la mitumba la Karume jijini Dar es Salaam usiku wa kuamkia leo.