WANAWAKE wakiwa katika maandamano kwenda Viwanja vya Mnazi Mmoja, Dar es Salaam, kushiriki maandhimisho ya siku ya wanawake Duniani
Mzigo wa miwa ukiwa tayari umeshushwa kutoka kwenye gari la mizigo katika soko la Tandale.
Katibu wa kongamano la Baraza la Wanawake wa kiislamu Wilaya ya Kongwa Mariam Issa Msami.