Vikosi vya usalama vikikabiliana na waandamanaji wanaopinga rais Pierre Nkurunziza kuwani urais kwa awamu ya tatu huko nchini Burundi.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akitembelea Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Morogoro Jana