Mfungaji pekee wa bao la Yanga hii leo Donald Ngoma akishangilia bao lake.
Kikosi cha Yanga kilichoivaa Simba wiki tatu zilizopita ndiyo kimeivaa APR hii leo.
Watumishi wakiwa nje ya Jengo la Mwaisela lililopo ndani ya Hospitali ya Taifa ya Muhimbili.
Wachezaji wa Timu ya Taifa ya Burundi ,Intamba mu Rugamba' wakiimba wimbo wa taifa lao kabla ya moja ya mchezo
Mtangazaji na Dj mkongwe wa kituo maarufu cha EA Radio Emsley Smith aka Baba T