Chelsea kutoa bilioni 18 Sancho kurudi Man United

Jadon Sancho

Chelsea imethibitisha kuwa haitampa mkataba wa kudumu  Muingereza Jadon Sancho  badala yake watalipa faini ya pauni milioni 5 ambayo ni sawa na shilingi  bilioni 18,154,985,000 kwa fedha za Tanzania  ili kumrudisha mchezaji huyo katika klabu yake ya  Manchester United.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS