Mwiru apewa uchifu kabila la Wasukuma Mgombea urais kupitia Chama cha Wakulima AAFP, Kunje Ngombale Mwiru amepewa uchifu wa kabila la Wasukuma na kuitwa 'Sonda' ikimaanisha nyota angavu. Read more about Mwiru apewa uchifu kabila la Wasukuma